Karibu kwenye Maisha Kamili

Fungua Biblia.
Uone maisha kwa nuru mpya.

Masomo ya Biblia yenye kina cha kitheolojia, moyo wa kichungaji na lugha inayolifikisha Neno la Mungu karibu na maisha ya kila siku.

Neno lako ni taa ya miguu yangu, na mwanga wa njia yangu.
Zaburi 119:105
68 makala katika maktabaKiswahili + English kwa wasomaji wengi zaidiBure kwa kila mwanafunzi wa Biblia

Machapisho ya sasa

Neno linalotembea nasi leo

Anza na masomo mapya yaliyochaguliwa kutoka katika maktaba.

Tazama makala zote

Uliza

Swali la Wiki

Wasilisha swali kuhusu Biblia, imani au maisha ya Kikristo. Kati ya maswali yatakayopokelewa, swali moja litachaguliwa na kujibiwa kila Jumatano.

Kila JumatanoJibu jipya la Swali la Wiki
Wasilisha kwa simu au barua pepe

Chochea udadisi

Maswali yanayokualika kusoma zaidi

Fungua sehemu ya Uliza

Sikiliza na utazame

Neno kwa ajili ya masikio, moyo na safari.

Fuata mafundisho ya Maisha Kamili kupitia video na vipindi vya sauti.

Fungua Media
Pr Enos Mwakalindile akiwa ameketi na kushika Biblia

Mwandishi na mwalimu

Pr Enos Mwakalindile

Mchungaji, mwalimu wa Biblia na mwandishi anayechanganya uelewa wa Maandiko, lugha ya kisasa na moyo wa kichungaji ili kumsaidia msomaji kumwona Kristo katika kila ukurasa—na katika kila hatua ya maisha.

Shirikiana na huduma