top of page



Kitabu cha Waamuzi: Kila Mmoja Alifanya Lililo Haki Machoni Pake
Kitabu cha Waamuzi kinatuonyesha mzunguko wa uasi na neema, nguvu za waokozi wenye mapungufu, na shauku ya Mfalme wa kweli. Ni hadithi ya Israeli inayotufunulia mioyo yetu na kutualika tukumbuke wito wetu wa agano, tukiamka kuwa wajumbe wa upendo na tumaini jipya, chini ya nuru ya Kristo.
Pr Enos Mwakalindile
Nov 5, 2025
bottom of page