Kujiandaa Kurejea Kwenye Jamii: Kuishi Kama Kiumbe Kipya - Mwongozo #12
- Pr Enos Mwakalindile
- Apr 29
- 1 min read
Kujiandaa Kurejea Kwenye Jamii ni mwaliko wa kuanza upya si kwa hatua za nje tu, bali kwa moyo, akili, na maisha yanayofanywa mapya ndani ya Kristo. Somo hili linatukumbusha kwamba mwanzo mpya wa kweli unahitaji kuachilia yaliyopita, kufanywa upya katika mawazo, na kujifunza kuishi kwa uaminifu kama kiumbe kipya mbele za Mungu na watu. Hivyo, kwa neema ya Kristo, tunaitwa kusonga mbele kwa tumaini, hekima, na ujasiri wa kuishi maisha mapya yenye ushuhuda.

Kwa Tafakari Zaidi Sikiliza
Somo Lijalo: Jumuiya na Uwajibikaji – Mwili wa Kristo.




Comments