Uchambuzi wa 1 Samweli 27 — Siklagi, Kimbilio Ng’ambo ya Mpaka na Gharama ya Kuishi: Wakati Hofu Inapoandika Ramani ya Safari
- Pr Enos Mwakalindile
- Dec 24, 2025
- 1 min read
Updated: Jan 7
Wakati uchovu wa kuwindwa unakapofikia kikomo, na ahadi za Mungu zinapofunikwa na kivuli cha mauti kinachokufuata kila kukicha, moyo unaweza kutoa hitimisho la kukata tamaa: "Siku moja nitapotea kwa mkono wa Sauli." Katika sura hii, tunamwona Daudi akivuka mpaka na kuingia nchi ya Wafilisti—si kama mshindi mwenye kombeo, bali kama mkimbizi anayetafuta usalama kwa adui yake wa zamani. Hapa tunajifunza kuhusu gharama ya kuishi kwa kutumia akili za kibinadamu wakati imani inapolegea, na jinsi Mungu anavyomvumilia mteule wake hata anapojificha kwenye nyumba ya adui.





Comments