Uchambuzi wa 1 Samweli 5 — Dagoni Aanguka, Majipu Yalipuka: Wakati Mungu Anapigana Vitani Peke Yake
- Pr Enos Mwakalindile
- Dec 11, 2025
- 1 min read
Updated: Jan 3
Sanduku linaonekana kama limehamishwa. Utukufu unaonekana kama umeondoka. Lakini Mungu anaingia hekaluni kwa sanamu, anaibwaga kifudifudi, na kuushusha mkono wake mzito juu ya watu wenye kiburi—bila hata Mwisraeli mmoja kuinua upanga.





Comments