Uchambuzi wa 1 Samweli 7 — Machozi, Ngurumo, na Jiwe Liitwalo Msaada: Wakati Watu Wanaacha Miungu Yao na Kukutana na Mungu Anayepigana kwa Ajili Yao
- Pr Enos Mwakalindile
- Dec 12, 2025
- 1 min read
Updated: Jan 4
Sanduku la agano linapofichwa mbali machoni, machozi hubadilika kuwa toba, sanamu zinaanguka, na ngurumo kutoka mbinguni inakuwa jibu la kilio cha taifa. Jiwe moja, lililosimamishwa kati ya miji miwili, hubakia kunong’ona kwa vizazi: “Hata sasa Bwana ametusaidia.”







Comments