Uchambuzi wa 1 Samweli 8 — Uzee, Wana Wasio Tembea Sawa, na Ombi Hatari: Wakati Watu Wanapotaka Mfalme Kama Mataifa
- Pr Enos Mwakalindile
- Dec 12, 2025
- 1 min read
Updated: Jan 4
Wakati uongozi mwaminifu unaingia uzeeni, wana wanapopindisha njia iliyonyooka, na hofu inapotafuta uhakika wa kuonekana, taifa linasimama kwenye njia panda: je, litaiamini taji isiyoonekana ya Mungu, au litamvika taji kiongozi anayeonekana kama wa mataifa mengine?







Comments