Ufafanuzi wa 1 Samweli 3 — Kuhani Aliyelala, Kijana Aliyeamka, na Neno la Kwanza la Enzi Mpya
- Pr Enos Mwakalindile
- Dec 10, 2025
- 1 min read
Updated: Jan 7
Katika patakatifu ambapo mwanga wa taa unakaribia kuzimika na neno la Mungu ni adimu, mtoto anasikia jina lake likiitwa usiku. Historia inabadilika kupitia maneno manong'ono yasemayo: "Nena, kwa kuwa mtumishi wako anasikia."





Comments