top of page

Matokeo ya Unachotafuta

189 results found for "walawi 9"

  • Kutoka Giza la Ulimwengu Huu: Msalaba kama Mlango wa Uumbaji Mpya katika Yohana

    Ni kuukataa mwanga ambao huangaza kila mtu ajapo duniani (Yoh. 1:9). Hili ndilo Yohana analolieleza kama dhambi ya msingi ya ulimwengu (Yoh. 16:9). 2. Walimchukia kwa kuwa aliufunua uongo wao unaoficha uovu wao (Yoh. 7:7; 9:39-41). Mungu anatangaza mwanzo wa uumbaji mpya—ulimwengu wa upendo, amani, na uzima wa milele (1 Yohana 4:9- Tuvute karibu nawe kwa msalaba wako, utuonyeshe uso wa Baba (Yoh. 14:9), na utufanye kuwa watoto wa nuru

  • Hesabu 25 – Uasi wa Baal-Peori na Wito wa Utakatifu

    Kitendo cha Uaminifu  – Finehasi, mwana wa Eleazari, anatenda kwa wivu wa Bwana na kuzuia tauni (25:6–9) wa agano hawaruhusiwi kuchanganya ibada ya Mungu aliye hai na miungu ya mataifa (linganisha na Hosea 9: cha Finehasi kinatufundisha kuwa viongozi na watu wote wa Mungu wanapaswa kulinda utakatifu (1Pet. 2:9) tusimame kwa ujasiri kulinda utakatifu wa Kristo katika maisha binafsi na jamii (Hes. 25:11; 1Pet. 2:9)

  • Kiongozi Bora – Nafasi, Wito na Mfano wa Yesu

    Kanisa pia limekuwa na mifano miwili: Diotrefe alijitukuza na kuwakandamiza wengine (3 Yohana 1:9), lakini Paulo alijinyenyekeza akisema, “Najifanya mtumishi wa wote ili niwapate wengi”  (1 Kor. 9:19). Kiongozi Hujifunza, Hukosolewa, na Hukomaa Methali 9:9 “Mpe mwenye hekima, naye atakuwa na hekima zaidi

  • Maandalizi ya Mhudumu wa Uponyaji: Unyenyekevu na Utakatifu - Somo la 3

    (Marko 9:29) Je, unaweza kumpenda mtu unayehudumia hata kama haponi? (Marko 9:29) Yesu aliwaeleza wanafunzi wake kuwa nguvu za giza haziwezi kushindwa kwa maneno matupu bali wao na kutegemea neema ya Mungu hupewa nafasi ya kushirikiana naye kwa njia ya ajabu (2 Wakorintho 12:9) kupotoka na kutafuta umaarufu au faida binafsi hasa unaposhuhudia Mungu akitenda kupitia wewe (Yeremia 17:9) (Marko 9:29) Ni hatari gani zinazoweza kutokea kwa kiongozi anayetumia huduma kwa faida yake binafsi?

  • Mathayo 5:3 na Mapinduzi Makuu ya Ufalme: Fumbo la Kuwa Maskini wa Roho

    Waliobarikiwa ni wale wanaojua: Hawaleti chochote mezani isipokuwa njaa (Luka 18:9-14). Fahari yao pekee ni Kristo (Wafilipi 3:7-9). Hawana uwezo wao wenyewe, bali nguvu za Mungu hukamilika katika udhaifu (2 Wakorintho 12:9-10). Mwenyewe , ingawa alikuwa tajiri, alifanyika maskini ili tupate kuwa matajiri ndani yake (2 Wakorintho 8:9)

  • Kumbukumbu la Torati 21: Haki na Wajibu – Kutunza Waliokufa, Familia, na Jamii

    Muhtasari wa Kumbukumbu 21 Mistari 1–9: Maiti Isiyojulikana  (Kum. 21:1-9). Uchambuzi wa Kimaandishi na Lugha Maiti Isiyojulikana (mist. 1–9):  Sheria ya eglah arufah  ilitangaza Tafakari ya Kitheolojia Upatanisho kwa Waliokufa (Kum. 21:1-9):  Sherehe ya kusafisha ardhi inaonyesha Kristo alitimiza hili kwa damu yake, akifanya upatanisho wa milele (Ebr. 9:14). Ni kama mchungaji anayeacha 99 kumtafuta mmoja aliye potea, akithibitisha thamani ya kila mmoja.

  • Utangulizi wa Huduma ya Uponyaji: "Yesu Anaponya Leo!" - Somo la 1

    (Mathayo 9:35) Kama Yesu angeingia leo katika mji au kijiji chako—angeona wagonjwa wakienda wapi? (Mathayo 9:35) Yesu aligusa maisha ya watu kwa kuganga magonjwa ya mwili na majeraha ya moyo. “Neema yangu yakutosha; maana uweza wangu hutimilika katika udhaifu.” (2 Wakorintho 12:9) Paulo aliomba mara tatu mwiba wake uondolewe lakini hakupokea uponyaji wa papo kwa papo (2 Wakorintho 12:7–9).

  • Hesabu 15 – Sheria za Sadaka na Ukumbusho wa Vizazi

    ishara ya upatanisho wa Kristo, ambaye ni mwombezi wetu wa kweli kwa dhambi zote (1 Yoh. 2:1–2; Ebr. 9: Yesu mwenyewe alivaa (Mt. 9:20), ishara ya uaminifu wa agano na mwaliko kwetu kukumbuka Neno lililoandikwa 29) zilikuwa kivuli cha msalaba, Kristo akifunika dhambi zetu na kutuombea daima (1 Yoh. 2:1–2; Ebr. 9: Yesu mwenyewe alivaa (Mt. 9:20), akituonyesha kuwa amri zimeandikwa mioyoni (Ebr. 8:10), ili tuishi kwa

  • Hesabu 34: Mipaka ya Urithi wa Kanaani

    Mipaka ya Kaskazini  – Kutoka Mlima Hor hadi Lebo-Hamathi (Hes. 34:7–9). kauli ya agano, ikisisitiza kuwa urithi unatoka kwa neema ya Mungu, si matendo ya mwanadamu (Efe. 2:8–9) Bahari ya Magharibi kama mpaka  – Bahari katika Maandiko ni ishara ya nguvu zisizodhibitika (Zab. 93: Vivyo hivyo, kanisa linaitwa kuwa taifa takatifu (1Pet. 2:9). Kanaani ilikuwa kivuli cha pumziko la milele (Ebr. 4:9–10), urithi wa mbinguni usioweza kufutwa (Ufu.

  • Kumbukumbu la Torati 31: Musa Akimkabidhi Yoshua na Wimbo wa Ushuhuda

    Mistari 9–13: Sheria Kusomwa Kila Miaka Saba.   Ni wito wa uongozi wa imani, sio nguvu za kibinadamu (Yos. 1:6–9). Sheria Kusomwa (mist. 9–13):  Amri ya kusoma sheria kila miaka saba ilihakikisha kila kizazi, watoto hodari na imara” yanamkumbusha Yoshua kuwa nguvu halisi ya kusonga mbele inatoka kwa Mungu (Yos. 1:6–9) Kumbuka, ujasiri wako unatokana na ahadi za Bwana (Yos. 1:9).

  • Misingi ya Kibiblia ya Huduma ya Uponyaji: Yesu Kama Mganga Mkuu - Somo la 2

    (Mathayo 9:35) Ukitumwa kumwombea mgonjwa leo, ungeanza vipi? (Mathayo 9:35) Hapa Mathayo anatuonyesha Yesu akitembea katika maeneo yote, akihubiri habari njema na ”  (1 Wakorintho 12:9) Katika sura hii, Paulo anaeleza utofauti wa karama lakini asili moja ya Roho. Katika Matendo 28:7–9, Paulo anaponya wagonjwa wengi visiwani Malta, jambo lililoimarisha imani ya wenyeji hospitali ya nafsi na mwili, likiwa mfano wa Injili inayoonekana na kugusa jamii kiroho na kijamii. 9.

  • Hesabu 6 – Nadhiri ya Mnadhiri: Kutengwa kwa Utakatifu

    Mnadhiri alichafuka kwa kugusa maiti, alipaswa kutoa sadaka za utakaso na kuanza upya nadhiri yake (Hes. 6:9– Hii ni ishara ya kujitenga na starehe za kawaida, ikikumbusha uasi wa Nuhu alipolewa (Mwa. 9:21) na onyo la makuhani wasikaribie madhabahu wakiwa wamelewa (Law. 10:9). Mnadhiri inathibitisha kwamba kila mwanaume na mwanamke anaweza kumkaribia Mungu kwa kujitenga (1 Pet. 2:9)

Image of a white top mauntain standing behind savana plain showing the wisdom of Creator God

Tutumie ujumbe,

nasi tutakujibu punde.

An image of Pr Enos Mwakalindile who is the author of this site
An image of a tree with a cross in the middle anan image of a tree with a cross in the middleaisha Kamili"

Unafurahia huduma hii ya Neno la Mungu bila kulipa chochote kwa sababu wasomaji kama wewe wameitegemeza kwa sala na sadaka zao. Tunakukaribisha kushiriki mbaraka huu kupitia namba +255 656 588 717 (Enos Enock Mwakalindile).

bottom of page