top of page

Matokeo ya Unachotafuta

189 results found for "walawi 9"

  • Uponyaji na Mapenzi ya Mungu: Kufahamu Neema Yake - Somo la 5

    chombo cha neema, na kwamba Mungu ana mpango wa utukufu hata katikati ya udhaifu wetu (2 Wakorintho 12:9– ”  (2 Wakorintho 12:9) Paulo aliomba mara tatu kuhusu “mwiba” wake lakini hakupokea uponyaji wa papo Isaya 55:8–9 inatufundisha kuwa njia za Mungu si sawa na zetu, zikionyesha kwamba mapenzi yake daima

  • Sababu 10 za Kuamini kwamba Yesu Ndiye Njia ya Kweli ya Kumjua Mungu

    Rejea: Yohana 1:18, Yohana 14:9, Waebrania 1:1–3 2. Kwa mujibu wa Yohana 10:7–9, Yesu anajilinganisha na mlango wa zizi—ni kupitia kwake tu ndipo kondoo Rejea: Yohana 10:7–9, Yohana 14:6 3. Rejea: Yohana 14:16–17; Matendo 2:1–4; Warumi 8:15–16 9. “Atakuja tena… kuwakilisha wokovu kwao wamngojeao” (Waebrania 9:28).

  • Kumbukumbu la Torati 20: Vita vya Agano – Masharti ya Haki na Ushindi katika Bwana

    Waliotengwa Kutopigana Vita (Kum. 20:5-9).   Waliotengwa (mist. 5–9):  Masharti haya yalilinda familia na kuhakikisha kwamba moyo wa askari haujagawanyika Thamani ya Maisha ya Kila Mtu (Kum. 20:5-9):  Mungu alijali familia na ndoto za watu wake, hata katikati

  • Hesabu 23 – Baraka za Mungu Kinywani mwa Balaamu

    likiwa imara kama mahema yaliyoenea na mito inayotiririka, ishara ya baraka zisizozuilika (Hes. 23:9– Sema yale yanayojenga, yanayoponya, na kuleta nuru kwa jirani (Yakobo 3:9–10).

  • Hesabu 26 – Kuhesabiwa kwa Kizazi Kipya

    Urithi ni wa neema  – Kanaani haikupatikana kwa nguvu ya upanga, bali kwa ahadi ya Mungu (Kum. 9:4–6) Ni picha ya wokovu katika Kristo, ambapo tunaokolewa si kwa matendo bali kwa neema (Efe. 2:8–9).

  • Kumbukumbu la Torati 16: Sikukuu za Upyaisho wa Agano na Haki Mbele za Bwana

    Mistari 9–12: Sherehe ya Majuma  (Kut. 23:16; Kum. 16:9-12). Sherehe ya Majuma (mistari 9–12):  Wito wa kushirikiana na wale walio dhaifu (watumwa, wageni, yatima

  • Ufafanuzi wa Waamuzi 8: Matokeo ya Ushindi wa Gideoni — Ushindi Dhoofu, Uongozi Uliojaribiwa, na Mvuto wa Utukufu wa Effodi

    Wenzake wanamlaumu (8:1–3), ndugu zao wenyewe wanakataa kuwasaidia (8:4–9), maadui wanakamatwa na kuuawa inafunga mzunguko wa Gideoni (Waam 6–8) na kuwa daraja kuelekea hadithi nzito ya Abimeleki katika sura ya 9. Sura hii inatuandaa kwa “mfalme-miiba” wa sura ya 9 na inakazia ule ubeti unaojirudia: “Siku hizo hapakuwa Kut 28; 1 Sam 23:9–12). Ifuatayo:  Waamuzi 9 — Abimeleki: Mfalme Mwiba na Gharama ya Tamaa ya Uongozi.

  • Hesabu: Ujumbe wa Kale na Umuhimu Wake Leo

    Waisraeli walihesabiwa na kupanga kambi kwa kufuata agizo, si kwa mpangilio wa kibinadamu (Hes. 1:54; 9: “Kwa Yesu tunayo pumziko jipya” (Ebr. 4:8–9). Omba neema ya kuhesabiwa miongoni mwa kizazi kipya kinachoingia pumziko la Mungu (Ebr. 4:9–11). 🙏 Maombi

  • Tumaini Kwa Dunia Iliyovunjika – Upatanisho na Haki: Somo la 11

    likitusimamisha kwenye ahadi za Mungu zinazoshuhudia kuwa siku moja mambo yote yatakuwa sawa (Isaya 11:1–9; (Mathayo 5:9) Katika Mahubiri ya Mlimani, Yesu anainua wapatanishi kama watoto wa kweli wa Mungu—wanaoonyesha Lisiloshindwa: “Tuna dhiki kila upande, lakini hatupondwi… tumepigwa lakini hatuangamii.” (2 Wakorintho 4:8–9)

  • Sababu 7 za Kuamini Mungu Anakutaka: Upendo Usio Na Sharti

    Mungu anaelewa mazingira yako na kukupatia nguvu zilizotimia  (2 Wakorintho 12:9). 🌟 4. Paulo alisema, "Neema yangu yakutosha" (2 Wakorintho 12:9). yake, asijivune kwa ajili ya hekima hiyo... bali ajivune kwa hili, kwamba ananielewa mimi" (Yeremia 9: Anaendelea kuumba ndani yako, akiheshimu ubunifu wako huku akikuongoza kwa upendo. 🌈 9.

  • Tumaini Lachomoza Gizani – Yesu, Utimilifu wa Ahadi: Somo la 4

    .”— Isaya 9:2 Ujio wa Yesu ni nuru gizani mwetu. Yanayochanua Alfajiri Nuru Kwa Walio Gizani: “Watu waliokuwa wakitembea gizani wameona nuru kuu…” (Isaya 9: Kariri Andiko la Tumaini:  Chagua andiko kama Isaya 9:2 au Yohana 1:5 na ulifanye wimbo wa moyo wako.

  • Hesabu 13 – Wapelelezi Kumi na Mbili na Ripoti Zao

    Waliiona rutuba (Hes. 13:23), ishara ya utimilifu wa ahadi ya maziwa na asali (Kut. 3:8; Kumb. 8:7–9) Yoshua na Kalebu walithubutu kwa imani, mfano wa viongozi wanaosimama hata wakiwa wachache (Yos. 14:6–9)

Image of a white top mauntain standing behind savana plain showing the wisdom of Creator God

Tutumie ujumbe,

nasi tutakujibu punde.

An image of Pr Enos Mwakalindile who is the author of this site
An image of a tree with a cross in the middle anan image of a tree with a cross in the middleaisha Kamili"

Unafurahia huduma hii ya Neno la Mungu bila kulipa chochote kwa sababu wasomaji kama wewe wameitegemeza kwa sala na sadaka zao. Tunakukaribisha kushiriki mbaraka huu kupitia namba +255 656 588 717 (Enos Enock Mwakalindile).

bottom of page