top of page

Uchambuzi wa 1 Samweli 21 — Mkate Mtakatifu na Usalama Uliovunjika: Wakati Uhitaji Unapobisha Kwenye Milango ya Patakatifu

Updated: Jan 6

Daudi sasa ni mkimbizi wa kudumu. Hana chakula, hana silaha, na hana pa kulala. Katika safari yake ya kwanza baada ya kuagana na Yonathani, anafika Nobu kwa kuhani Ahimeleki. Huko, katika mazingira ya dharura, anapata "mikate ya wonyesho" na "upanga wa Goliathi." Lakini pia, macho ya msaliti yanatokea kivulini. Sura hii inatufundisha kuwa wakati mwingine, imani inakulazimisha kutembea kwenye mstari mwembamba kati ya uhitaji na sheria, na kati ya hekima na hofu.


Analysis of 1 Samuel 21 — Holy Bread and Fractured Safety: When Need Knocks on the Door of Worship. Young man in white robe holds a sword before an elder in red robes. Sunlit room, table with bread, solemn mood. Another man in background.


Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating*
Image of a white top mauntain standing behind savana plain showing the wisdom of Creator God

Tutumie ujumbe,

nasi tutakujibu punde.

An image of Pr Enos Mwakalindile who is the author of this site
An image of a tree with a cross in the middle anan image of a tree with a cross in the middleaisha Kamili"

Unafurahia huduma hii ya Neno la Mungu bila kulipa chochote kwa sababu wasomaji kama wewe wameitegemeza kwa sala na sadaka zao. Tunakukaribisha kushiriki mbaraka huu kupitia namba +255 656 588 717 (Enos Enock Mwakalindile).

bottom of page