top of page

Uchambuzi wa 2 Wafalme 24 — Mto Unapopungua Maji, na Uhamisho wa Awamu Unapoanza

Mageuzi yameisha. Mfalme amezikwa. Na historia inashika kasi.


Mbingu zinakuwa bahili. Upepo unajitenga na mvua.

Na mto uliowahi kuimba bondeni unaanza kupungua—

kwanza kijito kidogo, kisha mawe yanaonekana, kisha udongo unapasuka.


Uhamisho haufiki wote kwa mara moja.

Unakuja kama msimu mrefu wa ukame—wiki kwa wiki, shamba kwa shamba.


Hii ni 2 Wafalme 24.

Mchoraji anaonyesha watu wamevaa mavazi ya zamani wakiwa wamefunga pingu. Uwanja wa jela, askari wakilinda, na moto uwashwa. Kilio.

Katika siku zake akakwea Nebukadreza, mfalme wa Babeli na Yehoyakimu akawa mtumishi wake muda wa miaka mitatu; kisha , akageuka, akamwasi. 2  Naye Bwana akatuma juu yake vikosi vya Wakaldayo, na vikosi vya Washami, na vikosi vya Wamoabi, na vikosi vya wana wa Amoni, akawatuma juu ya Yuda ili kuiharibu, sawasawa na neno la Bwana alilolinena kwa mkono wa watumishi wake manabii....



Comments

Rated 0 out of 5 stars.
No ratings yet

Add a rating*
Image of a white top mauntain standing behind savana plain showing the wisdom of Creator God

Tutumie ujumbe,

nasi tutakujibu punde.

An image of Pr Enos Mwakalindile who is the author of this site
An image of a tree with a cross in the middle anan image of a tree with a cross in the middleaisha Kamili"

Unafurahia huduma hii ya Neno la Mungu bila kulipa chochote kwa sababu wasomaji kama wewe wameitegemeza kwa sala na sadaka zao. Tunakukaribisha kushiriki mbaraka huu kupitia namba +255 656 588 717 (Enos Enock Mwakalindile).

bottom of page