Uchambuzi wa 2 Wafalme 25 — Wakati Mji Unapoanguka, Hekalu Linapoungua, na Tumaini Linapokataa Kufa
- Pr Enos Mwakalindile
- Mar 20
- 1 min read
Mazingira Yanabana.
Mkate unaisha.
Kuta zinaporomoka.
Moto unaingia katika nyumba ya Mungu.
Shaba inavunjika.
Mawe yanatawanyika.
Na kisha—wakati hadithi inapaswa kuisha—
Mfungwa anainuliwa.
Meza inaandaliwa.
Na tumaini linapumua kwa utulivu uhamishoni.
Hii ni 2 Wafalme 25.

Ikawa katika mwaka wa kenda wa kutawala kwake, katika mwezi wa kumi, na siku ya kumi ya mwezi huo, Nebukadreza, mfalme wa Babeli, akaja, yeye na jeshi lake lote, kupigana na Yerusalemu, akapanga hema zake kuukabili; nao wakajenga ngome juu yake pande zote. 2 Basi mji huo ulihusuriwa hata mwaka wa kumi na moja wa mfalme Sedekia....




Comments