Uchambuzi wa 1 Wafalme 19 — Nabii Chini ya Mti wa Mretemu, Mkate Nyikani, na Sauti Ndogo Baada ya Upepo: Wakati Mungu Anapomponya Shujaa Aliyechoka
- Pr Enos Mwakalindile
- 24 hours ago
- 1 min read
Alikimbia baada ya moto.
Alikimbia baada ya mvua.
Sasa anakimbia kwa sababu ya tishio.
Nabii aliyelikabili taifa ameketi chini ya mti wa mwaya na kuomba kifo.
Lakini Mungu hajibu uchovu wa mtumishi wake kwa ukali.
Anajibu kwa usingizi. Kwa mkate. Kwa safari ndefu. Kwa mlima.
Na kwa sauti— si katika tetemeko la nchi, si katika moto, bali katika sauti ndogo ya utulivu.
Hii ni 1 Wafalme 19.





Comments